Saturday, 7 August 2010

Msanii wa muziki wa hip hop aka bongofleva Izzo Bizzness akiwaimbisha washabiki na wapenzi waliofurika usiku huu ndani ya tamasha la Fiesta Jipanguse,viwanja vya lidaz club Kinondoni jijini Dar
Watangazaji wa Clouds FM,B Dozen,Dj Fetty na Adam Mchomvu wakilianzisha jukwaani usiku huu
Baby J akijiachia jukwaani huku mashabiki wakipiga mayowe ya nguvu.
Watu kibao ndani ya Lidaza Clubu usiku huu,huku wasanii mbalimbali wakiendelea kukamua kwa zamu,mashabiki wako live i le mbaya.
Ni full kijipangusa tu usiku huu,kila mmoja kwa mtindo wake huku mfalme wa raha kamili akiendelea kudumisha raha zaidi.
Wwoooowwwww..!

Ni shangwe miluzi na makelele kwa kwenda mbele hapa lidaz club,wadau mapicha yanakuja kila baada ya muda kuwahabarisha kila kinachojiri humu ndani ya viwanja vya lidaz club,watu ndio kama uonavyo wamefurika ile mbaya,suala la vinywaji Serengeti hilo wamelidhibiti vilivyo,msosi ndio kama kawa kila kitu kipo hapa ndani.

No comments:

Post a Comment