Sunday, 25 July 2010

fiesta jipanguse 2010 yawakuna vilivyo wakazi wa tanga,

hamkomi nanyi
Kiroboto na wadau . i can see Ancle Rama Serengeti boiy
 
yeraa kimpera mperaa "msichana mtundu yuko Tanga nini"

KARIBU kwenye shoo za Jo


masongee njoo utibu mtima wange

Wapi bata kwani namtaka wakitanga
nyama ya mbele ni tamu ya nyuma inamafuta






FID bro slow down
Dozen nae achagua bata!

MACHOZI
TEMBA NA CHEGGE
King of afternoon shows now making it to nigth

dah! I ddnt no wa mbagala wanan'ya ivi



TIPTOP

Wadau maelezo ya picha zote naomba mniwie radhi mida mida hivi ntarejea kukamilisha kila kitu,lakini kwa sasa tupate taswira nzima ya tamasha la Fiesta Jipanguse lilivyokuwa ndani ya uwanja wa mkwakwani usiku huu.

No comments:

Post a Comment