BREKING News: MAMA SITTA AKAMATWA NA TAKUKURU TABORA
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mh. Margaret Sitta pamoja na watu wengine tisa amekamatwa na kikosi cha kuzuia na kupambana na rushwa nchini Tanzania, TAKUKURU, huko mkoani Tabora baada ya upekuzi wa mikoba ndani ya gari lake kukutwa na zaidi ya shilingi milioni moja za Kitanzania, bahasha za khakhi zaidi ya mia moja, simu saba aina ya NOKIA na vitu vingine.
Inasadikika vitu hivyo vingepewa baadhi ya wajumbe ambao wangepiga kura katika uchaguzi wa wagombea Ubunge viti maalumu uliofanyika mkoani humo leo.
Inasadikika vitu hivyo vingepewa baadhi ya wajumbe ambao wangepiga kura katika uchaguzi wa wagombea Ubunge viti maalumu uliofanyika mkoani humo leo.
No comments:
Post a Comment