Sunday, 27 March 2011

Msanii C-Pwaa akikabidhiwa tuzo ya video bora ya muziki wa mwaka uitwao Action pia aliibuka na tuzo nyingine ya wimbo bora wa Ragga/dancehall uitwao Action

Wimbo bora wa asili Tanzania Shangazi ulienda kwa msanii wa vichekesho Mpoki

Wimbo bora wa RnB Nikikupata ulienda kwa msanii Ben Pol

Kushoto ni mtayarishaji wa muziki kutoka studio ya Combinations Sound aka Combinenga Man Water akipokea tuzo ya mwimbaji bora wa kiume kwa niaba ya 20% kutoka kwa mkurugenzi wa Prime Time Promotions Ltd Juhyana Kusaga.
TUZO ALIZOCHUKUWA 20% NI
1.       Tuzo ya wimbo bora wa Afro Pop – Tamaa Mbaya
2.       Tuzo ya mtunzi bora wa nyimbo
3.       Tuzo ya mwimbaji bora wa kiume
4.       Tuzo ya wimbo bora wa mwaka
5.       Tuzo ya msanii bora wa muziki wa kiume

Wimbo bora wa Hip Hop Karibu Tena ulienda kwa msanii Joh Makini

Mwimbaji bora wa kike tuzo ilienda kwa Lady JD

Mtayarishaji bora wa nyimbo Lamar

Wimbo Bora wa Kushirikisha/Kushirikishwa tuzo ilienda kwa JCB na Jay Moe

Mwenyekiti wa Tanzania mitindo house, Khadija Mwanamboka akimkabidhi msanii wa kizazi kipya Linah tuzo ya msanii bora wa kike, pia Linah alichukua tuzo ya msanii mpya anayechipukia

Wimbo Bora wa Reggae, What u Feel Inside - Hardmad

Kushoto ni msanii Bonta, JayMoe, Ksingo, Nikki wa Pili na Ruben

No comments:

Post a Comment