Monday, 18 October 2010

UCHAGUZI NI WAKO

Hatuoni Hatusikii
Tunadanganyika kirahisi
Tunafuata mkumbo
BAADAE TUNALALAMIKA !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

makazi yetu

shule zetu vijijini



WAO WAKICHAGULIWA.........
Office za bunge

Kuna cha kuongeza?

Sasa tucheze na hesabu 6,900,000/= kwa mbunge mmoja,zidisha mara miezi 12 then zidisha kwa miaka 5 = 414,000,000/= jumlisha 50,000,000/= anayopewa mara baada ya kumaliza miaka 5 = 464,000,000/= kwa mbunge mmoja.

464,000,000/= siko tayari kuzidisha fedha hii mara wabunge wote kwa miaka 5,calculator yangu itachanganyikiwa alafu niingie gharama ya kununua nyingine

No comments:

Post a Comment