Thursday, 15 July 2010

JK akutana wasanii nyota wa bongo fleva dodoma
JK akisalimiana na Ruge Mutahaba ambaye ni kiongozi wa Nyumba ya Vipaji (THT) ambaye yuko Dodoma na wasanii nyota kibao ambao watatumbuiza wikiendi hii kwenye Fiesta 2010. Jana JK aliwaalika Ikulu Ndogo ya Chamwino na kupata nao dina la mchana
JK akisalimiana na Chegge
JK akisalimiana na Fid Q JK na Cpwaa JK na Mh. Temba
JK akipeana mikono na Dully Sykes
JK na Mwanafalsafa
JK na Barnaba wa THT
JK na wasanii
JK akisalimiana na Fellah, kiongozi wa Wanaume TMK
JK na mwamba wa Kaskazini Joe Makini
JK na KR wa TMK Wanaume
JK akisalimiana na Marlaw
JK akisalimiana na msanii wa THT
Mama Salma Kikwete akimsalimu Marlaw
Mama Salma Kikwete akisalimia wasanii
Ni wakati wa maakuli

No comments:

Post a Comment