MISS UNIVERSE TANZANIA 2010 NI HELLEN!
Hatimaye mrembo wa Miss Universe Tanzania 2010/11 amepatikana. Ni mrembo Hellen Dausen(pichani) mwenye umri wa miaka ishirini na tatu (23) kutoka mkoani Arusha.Nafasi ya pili ilikwenda kwa Rose Shayo kutokea Dodoma wakati ya tatu ilikwenda kwa Mwajuma Juma kutokea Mwanza.
No comments:
Post a Comment