Saturday, 8 May 2010

MISS UNIVERSE TANZANIA 2010 NI HELLEN!

Hatimaye mrembo wa Miss Universe Tanzania 2010/11 amepatikana. Ni mrembo Hellen Dausen(pichani) mwenye umri wa miaka ishirini na tatu (23) kutoka mkoani Arusha.Nafasi ya pili ilikwenda kwa Rose Shayo kutokea Dodoma wakati ya tatu ilikwenda kwa Mwajuma Juma kutokea Mwanza.

Pichani ni Hellen akipunga mkono baada ya kutwaa taji la umalkia huo nchini katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar usiku wa kuamkia jana.Hongera Hellen.

No comments:

Post a Comment