AJALI YA KUSIKITISHA YATOKEA VIGWAZA....MAGARI MATATU YAMEUNGUA NA MAISHA YA WATU YAMEPOTEA
Ndipo gari la mafuta lilitokea kwa nyuma bila kuwaona likagonga kwa kishindo.
Gari jeupe lililopo kushoto dereva wake aliziona gari zote hizo mbili kabla ajali haijatokea, akajisalimisha kwa kuitumbukiza gari yake katika msitu kama mnavoiona..
Mlipuko wa moto ulipotokea uliteketeza gari ya mafuta iliogonga gari lililobeba container na kusababisha moto huo kufikia kuunguza magari yote matatu.
Jambo linalosikitisha ni pale ajali ilipotokea yule utingo aliekuwa uvunguni mwa gari lililobeba container alibanwa akashindwa kutoka, aliomba watu wamuokoe kwa kumkata mikono iliokuwa imebanwa ili aweze kujinasua...lakini raia walishindwa kufanya hivyo mpaka moto ukamfikia na kumteketeza kabisa huku akijiona
Ajali hiyo ilitokea majira ya saa 7 za usiku, tar 6
No comments:
Post a Comment