Friday, 12 March 2010

POLE SANA NDUGU YANGU MADEE..

Madee akiwa na Pendo
Dah... Madee kwa sasa yupo kwenye wakati mgumu sana baada ya mpenzi wake kipenzi Pendo kufariki katika ajali ya gari iliyo tokea jana dodoma.

Pendo alikuwa anatoka dar kwenda dom kwa ajili ya kuendelea na masomo lakini kwa mipango ya mungu ndio haya yametokea, kwa sasa mwili wa marehemu upo hospitali ya Tumbi, nitakufahamisha zaidi baadaye kidogo
.

Picha hii nimeitoa kwa anko michuzi ni taswira ya hiyo ajali.

No comments:

Post a Comment