Friday, 21 January 2011

B,DAY PARTY YA MR. KIPARA KAVISHE NA WENZAKE.

 Hii ilikuwa b,day party ya watu watatu, Neema Chande, Ally na Kavishe ambayo ilikuwa kaparty kadogo kalichofanyika pale Mbalamwezi sehemu ya Swimming Pool.
 Kavishe, Neema na Ally wakikata keki zao.
MC wa shughuli hiyo alikuwa ni Dj Choka
 Choka, Queen na Kajala.
 Nice, Petit Man na Aunt Ezekiel

No comments:

Post a Comment