Wednesday, 22 December 2010


Wanafunzi wakijadiliana baada ya kuzuiwa na askari Wa kutuliza Ghasia {FFU} 
 Wanafunzi wa Chuo Cha Sayansi Ya Jamii Na Lugha Katika Chuo Kikuu Cha Dodoma Wakiandamana Kuelekea ofisini Kwa waziri Mkuu Mjini Dodoma jana Asubuhi
 Askari Wa Kutuliza Ghasia Wakiwa Wamejiandaa Kuwazuia Wanafunzi Kuelekea Mjini dodoma Kwenye Ofisi ya Waziri Mkuu.
 Mshauri wa Wanafunzi Wa Chuo Kikuu Cha Dodoma Mr Manongi Akiteta Jambo na Mkuu Wa Wilaya Ya Bahi ambae amekaimu Ukuu Wa Wilaya ya Dodoma Mjini Betty Mkwasa wakati Wa Mgomo Wa Wanafunzi Wa Chuo Kikuu Cha Dodoma
 Mkuu Wa Mkoa wa Dodoma Dkt Msekela aliyeshika kiuno Akiteta na Raisi Wa chuo cha Sayansi Ya Jamii Na Lugha Mh Lenard Singo Mwenye sweta la Bluu bahari Katikati Ya Mkuu Wa Mkoa na Raisi Wa Chuo Cha Sayansi ya Jamii Na Lugha ni Principal Wa Chuo Cha Sayansi Na Lugha Prof Bagumiya.

No comments:

Post a Comment