Redd's mitindo yafana,miss Redd's kutajwa siku ya kilele cha miss Tanzania 2010









Ubunifu wa mavazi wa Asia Idarous wang'ara miss Redd's 2010

Mama bingwa wa mitindo ya mavazi hapa Bongo na kwingineko Mama Asia Idarous Hamsini kutoka Fabak Fashions akiwapunigia mikono wageni waalikwa akiwa ameambatana na walimbwende wa Miss Tanzania 2010,wakiwa wamevalia mavazi yake aliyoyabuni na kuonyeshwa usiku huu kwenye shindano la kumsaka mlimbwende wa taji la Miss Redds 2010 lililofanyika ndani ya Mbalamwezi Beach,Mikocheni jijini Dar usiku huu.
No comments:
Post a Comment