Eti Kibao kata hadi kwa watoto Bi Mwajuma??aaah sio hivyo bwana hatwendi hivoo hata Robo.. babu yangu huwa unasema wee mwana unambwani??yaani wee mtoto una nini??huoni soni?usekutenda hivyo bwana n mwiko..yaani hivi Tanga Oyee(huoni aibu usifanye hivyo bwana haitakiwi kimila na desturi) huyu ni mtoto usimpelekee makalio yako hivyo bwana....why r u doin that for godsake !! dogo nae anafurahi tu kisa kapelekewa ntakuchapa wewe.. hivi guys??hii ni sawa kweli Honestly Speakin !!
No comments:
Post a Comment