Saturday, 2 January 2010

RIP simba wa vita(Mzee Rashid Mfaume Kawawa)
Mama Maria Nyerere na Mama Sitti Mwinyi wakisoma wasifu na ratiba wakati wa kutoa heshima za mwisho kwa Sima wa Vita ukumbi wa Karimjee Hall jijini Dar leo
Sheikh Yahya Hussein akisoma Quran
sehemu ya waomblezaji
waombolezaji wakilia
wengi walishindwa kujizuia
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mkewe Mama Salma Kikwete wakitoa heshima za mwisho kwa marehemeu Mzee Rashid Mfaume Kawawa katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar jioni hii. Mamia ya wananchi wamefurika ukumbini hapo kumuaga Sima wa Vita anayetarajiwa kuzikwa nyumbani kwake Madale kesho Jumamosi.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mkewe Mama Salma Kikwete wakiifariji familia ya Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa muda mfupi baada ya kutoa heshima za mwisho.

No comments:

Post a Comment