MAISHA CLUB KWISHAAAA ...YATEKETEA KWA MOTO
sehemu kuu ya burudani Maisha Club iliyopo Masaki jijini Dar leo mnamo majira ya saa saba mchana ilianza kuwaka moto, kwa taarifa zilizopatikana kutoka kwa mashuhuda wamesema kuwa kulikuwapo na ukarabati uliokuwa unaendelea wa vipupwe (AC), kwa bahati mbaya wakati wa ukarabati huo mojawapo ikalipuka kutokana na nyaya zake kugusana, na baadaye moto mkubwa ukazuka katika jengo hilo, imeelezwa kuwa taarifa zilifika kwa watu wa zima moto lakini hawakuwahi kuuzima moto huo kwa haraka kwani kwa asilimia kubwa vitu vilivyokuwemo vilikuwe vimekwishateketea.



nini kimesababisha maisha club kuungua leo?


No comments:
Post a Comment