kiota kipya cha maraha coco beach jijini dar
Kiota hiki kinaitwa Star Coco Club kilichopo katika mgahawa wa Coco Beach Oysterbay jijini Dar. Mkurugenzi Mkuu wa kiota hicho Bw. Alphonce Buhatwa anasema wadau wameitikia mwito kwa kufurika hapo kila siku kwa maraha yasiyo kelele wala mikwaruzo. Kwa habari zaidi piga:



No comments:
Post a Comment